Latest Updates

HII NDIO STYLE MPYA YA KUINGIZA DAWA ZA KULEVYA NCHINI, mmoja akamatwa

Mwanamke huyu alishawahi kukamatwa mara nane kwa makosa tofauti alikamatwa muda wiki chache zilizopita akijaribu kuingiza dawa za kulevya nchini Marekani kwa njia ya kuvaa nepi ya watoto iliyotengenezwa na kujazwa dawa za kulevya aina ya Cocaine. Picha Ziko Hapa.

Michelle Blassingale alikamatwa mwezi wa kwanza mwaka huu akijaribu kupita uwanja wa ndege wa Kennedy. Amehukumiwa miaka miwili jela.