
Wakati Universal Studios na timu nzima inayohusika
kutengeneza movie ya Fast & Furious wakiwa wanaendelea kutafuta njia
ya kuimalizia movie hiyo bila Paul Waker, Kuna uvumi umeibuka jana
(December 11) na kuenea katika mitandao kuwa ‘eti’ mwimbaji Justin
Bieber (19) huenda akuchukua nafasi ya marehemu Paul Walker katika movie
ya Fast & Furious 7.
Pamoja na kuwa huo ni uvumi tu na hakuna uthibitisho wowote lakini mashabiki wa filamu hiyo kupitia twitter wameponda kwa kusema Bieber hawezi kuziba nafasi ya Walker.
Soma baadhi ya tweet hizo:
Pamoja na kuwa huo ni uvumi tu na hakuna uthibitisho wowote lakini mashabiki wa filamu hiyo kupitia twitter wameponda kwa kusema Bieber hawezi kuziba nafasi ya Walker.
Soma baadhi ya tweet hizo: