Latest Updates

MKE WA MTU APIGWA PICHA UTUPU NA KUSAMBAZWA MTANDAONI AKIWA NA KIJANA MDOGO ....




Mwanamke mmoja ambaye Jina lake halikujulikana mara moja amefanyiwakitendo cha Kishenzi kutokana na Ushenzi wake wa kusaliti ndoa na kupiga mitungi pasipo kuwa na kipimo.

Kwa mujibu Tovuti ya Sukari guru ambao ndio wameziweka Picha hizo wamedai kuwa Mwanamke huyo alizidiwa kwa Pombe kiasi cha kushindwa kufanya maamuzi na kujikuta amefanya m,aamuzi ambayo mwisho wa siku yamemgharimu kwa kuvunjiwa HESHIMA na muhusika ambaye alifanya naye tukio hilo.