Latest Updates
Home »
Uncategories »
BBC WAMWALIKA SHILOLE KISA KIUNO CHAKE
BBC WAMWALIKA SHILOLE KISA KIUNO CHAKE
Shilole anakuwa msanii wa pili mwaka huu
kutinga BBC, baada ya msanii mwenzake Ambwene Yesaya (AY) kuwa msanii
wa kwanza mwaka huu kutinga katika ofisi hizo,Shilole ambaye atamba hivi
sasa katika tasnia ya muziki huku akijizolea sifa kemkem, kutoka na
uwezo wake mkubwa wa kutumia makali yake ipavyo akiwa jukwani.