Latest Updates

HATIMAYE T.I.D NA YAKUZA MOB WAFANYA BALAA MAISHA CLUB DOM, CHUMVINI LIVE LIVE, MISS TABORA AHUSIKA




Show ilifanyika Usiku wa kuamkia leo tarehe 22.06.2014 ambapo iliwaleta Yakuza Mobb pamoja na Mnyama T.I.D toka Dar es Salaam ambao kwa pamoja walikinukisha ile kishida pale Maisha Club Dodoma



Mtoto wa Town Mamuu






Abby kinywele akiwa na Best Friend wake Mumuu







bouncer Mamba akiwa na Mrembo wa Maisha Club






One Six nae alipiga show ya kufa mtu





Yakuza Mobb walikamua vya kutosha kabla ya mnyama TID kuingia kwa Stage









DJ Abou Mkali

















Hapa ni Bang Bang (Yakuza & Mnyama)





















Sijaja kuuza sura hapa ni kazi tu......





Miss Tabora akishow love kwa mnyama