katika vitu ambavyo mkali wa bongo flava ambaye anasauti ya pekee, Ferooz, anadai katu hawezi kuvisahau ni siku ambayo alikatiwa mauno na wakali wa bongo movie, wema na ant ezekiwl kipindi hicho fiesta ambayo ilifanyika moshi,
Ferooz anadai kua kuwa kila wakati anayakumbuka mauno ya mastaa hao ambayo yalimfanya apate mfadhaiko na kuongeza kuwa almanusra asahau mistari ya ngoma yake ya Ndege Mtini akiwa stejini.