Fresh kutoka kurekodi wimbo na Ne-Yo, Diamond Platnumz amekwea pipa kutoka Nairobi kwenda nchini Afrika Kusini kuungana na Mafikizolo kurekodi wimbo uitwao ‘Tell Every One’ ambao ni sehemu ya kampeni ya dunia ya kutokomeza umaskini, maradhi, njaa na matatizo mengine, The Global Goals.
Diamond na meneja wake Sallam wakiwa kwenye ndege kuelekea Afrika Kusini Ijumaa hii
S Africa's @MafikizoloSA studio in JHB today to #TellEveryone about @TheGlobalGoals. @diamondplatnumz in tomorrow! pic.twitter.com/KNG3sih8Vf
— The Global Goals (@TheGlobalGoals) August 20, 2015
Mafikizolo tayari wameshaingiza sauti zao na sasa anayesubiriwa ni Diamond ambaye huenda leo akamaliza sehemu yake.
Mchezaji wa Real Madrid, Gareth Bale naye ni sehemu ya mastaa duniani waliopo kwenye kampeni hiyo.
Gareth Bale tries the @TheGlobalGoals #DizzyGoals challenge 😂 (via: @GarethBale11) http://t.co/1GUBsA0g5f https://t.co/aB7ugTvGrw
— Bleacher Report UK (@br_uk) August 20, 2015
“On September 25th 2015, 193 world leaders will commit to 17 Global Goals to achieve 3 extraordinary things in the next 15 years. End extreme poverty. Fight inequality & injustice. Fix climate change. The Global Goals for sustainable development could get these things done. In all countries. For all people,” yanasomeka maelezo kwenye tovuti ya Global Goals.